Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amewataka wakuu wa idara kushirikiana na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama mkoani Katavi.
Amesema hayo leo Oktoba mosi akiwa na kamati ya ulinzi na usalama pamoja na wakuu wa idara wa mkoa wa Katavi, alipowasili mjini Mpanda akitokea Kigoma.
Waziri
 huyo amefanya ziara ofisi za mkoa huo kwa ajili ya kujua ushirikiano wa
 watendaji wakuu wa mkoa huo pamoja na wakuu wa vyombo vya ulinzi na 
usalama mkoani humo.






No comments:
Post a Comment