Waziri Mkuu Kuzindua Mashine 5 za X-ray zilizogharimu Bilioni 2.1

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa anatarajiwa kuzindua mashine tano za mionzi (X-ray) za kidigitali katika Hospitali za Rufaa za mikoa mitatu na mbili za wilaya.

Uzinduzi huo unatarajiwa kufanyika leo, Ijumaa katika Hospitali ya Ruvuma. Mashine zote zimeigharimu serikali jumla ya Sh bilioni 2.1.

Hospitali zilizofungiwa mashine hizo in pamoja na hospitali za rufaa za mkoa wa Morogoro, Simiyu na Ruvuma na Hospitali za halmashauri za wilaya ya Chato na Magu. 
Aidha, Hospitali nyingine tano za mikoa na moja ya halmashauri inaendelea kukamilisha ufungaji wake.
Share:

No comments:

Post a Comment

IDADI YA WASOMAJI

TUSIKILIZE LIVE KUPITIA TUNEIN

UNGANA NASI FACEBOOK HAPA

10 ZILIZOSOMWA ZAIDI

Labels