Home »
Kitaifa
 » Breaking News: Mahakama Yamwachia Huru Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi (TSNP), Abdul Nondo 
 
 
Mahakama
 ya Hakimu Mkazi Iringa imemuachia huru Mwenyekiti wa Mtandao wa 
Wanafunzi (TSNP), Abdul Nondo leo Novemba, 5  baada ya upande wa Jamhuri
 kushindwa kuthibitisha makosa mawili yaliyokuwa yanamkabili
Nondo
 alikuwa anakabiliwa  na mashtaka mawili; shitaka la kwanza ni kusambaza
 taarifa za uongo akiwa jijini Dar es Salaam kuwa ametekwa na kosa la 
pili ni kutoa taarifa za uongo akiwa mjini Mafinga kwa askari Polisi 
kituo cha Mafinga Wilayani Mufindi.
 
 
Deals With Music and Life Style.
 
 
No comments:
Post a Comment