Jumapili ya Januari 29, 2012, timu nzima ya kahama fm ikiongozwa na DJ RAMMY itafanya shoo ya nguvu katika ukumbi wa MASABO PIKINIKI, ikiwa ni hatua ya kuhitimisha ziara ya mahewa tour, ilioanza kufanyika Novemba mwaka jana kwa kuzunguka maeneo yote inaposikika redio hii.
Shoo itaanza majira ya saa nane mchana hadi likwili.Wasanii na wadau mbalimbali wa redio kahama fm watapewa tuzo na zawadi mbalimbali.
Usikose mtu wangu ni shoo ya nguvu na kiingilio kitakuwa ni sh 1000 kwa watoto na mtu mzima ni sh 2000 tu.