
Kwa
mliganisho wa mahitaji na uzalishaji nchi ina ziada ya tani 3,013,515
na imejitosheleza kwa asilimia 123 na 120 mtawalia ambapo uzalishaji
katika msimu wa 2016/2017 na 2015/2016 ulikuwa tani 15,900,864 na
16,172,841 mtawalia ambapo mahitaji ya chakula yanayoendana...